Thursday, May 26, 2016

Vita kati ya Huawei na Samsung mahakamani

Huawei
Kampuni ya teknolojia ya Huawei inaishtaki Samsung kuhusu madai kwamba haki zake zimekiukwa.

Kampuni hiyo ya China imesema kuwa inaishtaki Samsung kupitia mahakama mbili moja ikiwa California na nyengine ikiwa Shenzhen.

Kulingana na Huawei,simu zake kadhaa pamoja na programu zake ilizobuni zimetumiwa katika simu za Samsung bila ruhusa yake.

Samsung

Samsung imeambia BBC itatetea maslahi ya bishara zake.
Hatahivyo programu zinazodaiwa kuibwa na Samsung hazijatangazwa.

Source: BBC

0 comments:

Post a Comment